Tarehe 16 March 2008, watanzania wenzetu wa Montreal, ambao tumeishi nao kwa takribani miezi 18 walitufanyia sherehe fupi ya kutuaga mimi, mke wangu na watoto wetu. Ama sina la kusema zaidi ya kumwomba Mola awazidishie watu hawa ambao walitufanya tujisikie tuko nyumbani. Katika hafla hiyo fupi, kwa ukarim wa hali ya juu, tulipewa Zawadi. Kila nikiiona zawadi niliyopewa, hupata picha ya jinsi nilivyoishi nawo. Mungu wabariki sana. Picha ya Juu kabisa nikifungua zawadi ambayo nilipewa , Picha ya kati muda mfupi kabla hafla haijaanza na Picha ya chini ni group photo ingawa kuna wachache wanakosekana.
Monday, 17 March 2008
Send off party-16 March 2008
Tarehe 16 March 2008, watanzania wenzetu wa Montreal, ambao tumeishi nao kwa takribani miezi 18 walitufanyia sherehe fupi ya kutuaga mimi, mke wangu na watoto wetu. Ama sina la kusema zaidi ya kumwomba Mola awazidishie watu hawa ambao walitufanya tujisikie tuko nyumbani. Katika hafla hiyo fupi, kwa ukarim wa hali ya juu, tulipewa Zawadi. Kila nikiiona zawadi niliyopewa, hupata picha ya jinsi nilivyoishi nawo. Mungu wabariki sana. Picha ya Juu kabisa nikifungua zawadi ambayo nilipewa , Picha ya kati muda mfupi kabla hafla haijaanza na Picha ya chini ni group photo ingawa kuna wachache wanakosekana.
Sunday, 27 January 2008
Subscribe to:
Posts (Atom)